Mpendwa, mimi nasali kwamba uwe ukiendelea vema
na kuwa na afya njema katika mambo yote, kama vile nafsi yako
inavyoendelea vema. Kwa maana nilishangilia sana wakati akina ndugu
walipokuja na kutoa ushahidi kuhusu kweli ambayo wewe unashika, kama
vile unavyoendelea kutembea katika kweli. Sina sababu nyingine kubwa
zaidi ya kuwa na shukrani kuliko mambo haya, kwamba niwe nikisikia
watoto wangu wanaendelea kutembea katika kweli. Asema Bwana.
Mpendwa, unafanya kazi ya uaminifu kwa yoyote yale unayofanya kwa ajili ya akina ndugu, tena walio wageni, ambao wametoa ushahidi kuhusu upendo wako mbele ya kutaniko. Tafadhali uishughulikie safari ya hawa watu kwa namna inayomfaa Mungu. Kwa maana wao walisafiri kwa ajili ya jina lake, bila kuchukua kitu chochote kutoka kwa watu wa mataifa. Kwa hiyo, sisi tuna wajibu wa kuwakaribisha watu wa namna hiyo, ili tuwe wafanyakazi wenzi “wanandoa katika bwana” katika kweli.
Niliandikia kutaniko jambo fulani,lakini Diotrefe, anayependa kuwa na mahali pa kwanza katikati yao, hapokei kwa heshima jambo lolote kutoka kwetu. hiyo ndiyo sababu, nikija, nitakumbusha matendo yake ambayo anaendelea kufanya, akipiga porojo “uvumi – mpayukaji” juu yetu kwa maneno maovu. Pia, akiwa hatosheki na mambo haya, yeye mwenyewe pia hawapokei akina ndugu kwa heshima, na wale wanaotaka kuwapokea yeye hujaribu kuwazuia na huwatupa nje ya kutaniko.
Mpendwa, uwe mwigaji, si wa yaliyo mabaya, bali wa yaliyo mema, Yeye ambaye hutenda mabaya hajamwona Mungu. Demetrio ametolewa ushahidi na wao wote na ile kweli yenyewe. Kwa kweli, sisi, pia, tunatoa ushahidi, nanyi mnajua kwamba ushahidi tunaotoa ni wa kweli.
Nilikuwa na mambo mengi ya kukuandikia, lakini sitaki kuendelea kukuandikia kwa wino na kalamu. Bali ninatumaini kukuona wewe moja kwa moja, nasi tutasema uso kwa uso.
Na uwe na amani.
Rafiki wanakutumia salamu zao. Wape rafiki salamu zangu kwa jina.
Mpendwa, unafanya kazi ya uaminifu kwa yoyote yale unayofanya kwa ajili ya akina ndugu, tena walio wageni, ambao wametoa ushahidi kuhusu upendo wako mbele ya kutaniko. Tafadhali uishughulikie safari ya hawa watu kwa namna inayomfaa Mungu. Kwa maana wao walisafiri kwa ajili ya jina lake, bila kuchukua kitu chochote kutoka kwa watu wa mataifa. Kwa hiyo, sisi tuna wajibu wa kuwakaribisha watu wa namna hiyo, ili tuwe wafanyakazi wenzi “wanandoa katika bwana” katika kweli.
Niliandikia kutaniko jambo fulani,lakini Diotrefe, anayependa kuwa na mahali pa kwanza katikati yao, hapokei kwa heshima jambo lolote kutoka kwetu. hiyo ndiyo sababu, nikija, nitakumbusha matendo yake ambayo anaendelea kufanya, akipiga porojo “uvumi – mpayukaji” juu yetu kwa maneno maovu. Pia, akiwa hatosheki na mambo haya, yeye mwenyewe pia hawapokei akina ndugu kwa heshima, na wale wanaotaka kuwapokea yeye hujaribu kuwazuia na huwatupa nje ya kutaniko.
Mpendwa, uwe mwigaji, si wa yaliyo mabaya, bali wa yaliyo mema, Yeye ambaye hutenda mabaya hajamwona Mungu. Demetrio ametolewa ushahidi na wao wote na ile kweli yenyewe. Kwa kweli, sisi, pia, tunatoa ushahidi, nanyi mnajua kwamba ushahidi tunaotoa ni wa kweli.
Nilikuwa na mambo mengi ya kukuandikia, lakini sitaki kuendelea kukuandikia kwa wino na kalamu. Bali ninatumaini kukuona wewe moja kwa moja, nasi tutasema uso kwa uso.
Na uwe na amani.
Rafiki wanakutumia salamu zao. Wape rafiki salamu zangu kwa jina.
Ndugu zangu yatupasa tumrudie Bwana Mungu wetu
JibuFuta