Rooby Classic Simon
Shetani lazma akae.JIBU:
Idd Tolley Amini kwanza, ndipo utowe amri!. Mungu ASEMA; "Mwenye furaha ni mtu ambaye hakutembea katika shauri la waovu, Na katika njia ya watenda-dhambi hakusimama, Na katika kiti cha wenye dhihaki hakuketi. Bali mapendezi yake ni katika sheria ya Yehova, Naye huisoma sheria yake kwa sauti ya chini mchana na usiku" Na, Ubarikiwe, Mungu akutangulie. Amina.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni