Alhamisi, 14 Mei 2015

NI SWALI ZURI LENYE KUPENDEZA MACHONI PA MWANADAMU



 
Basi kabla ujajibu swali hili, ingependeza ujinyenyekeze mbele za Mungu wetu kwa kuomba “ili mtu ajue hekima na nidhamu na kutambua maneno ya uelewaji, apokee nidhamu ambayo  humpa mtu ufahamu, uadilifu na haki na unyoofu, kuwapa werevu wale wasio na uzoefu, kumpa kijana ujuzi na uwezo wa kufikiri.” Amina.
Narejea kwenye swali!
Je, Unadhani neno “TAFAKARI" lina maana gani?. 

KWA PICHA ZAIDI 
Ubarikiwe Ee Mwana wa Mungu



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni