Basi kabla ujajibu swali hili, ingependeza ujinyenyekeze
mbele za Mungu wetu kwa kuomba “ili mtu ajue hekima na nidhamu na kutambua
maneno ya uelewaji, apokee nidhamu ambayo
humpa mtu ufahamu, uadilifu na haki na unyoofu, kuwapa werevu wale wasio
na uzoefu, kumpa kijana ujuzi na uwezo wa kufikiri.” Amina.
Narejea kwenye swali!
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni